Habari
UPIMAJI WA MAJI MTO ERRI WAFANYIKA BABATI

Wataalamu wa Bodi ya Maji Bonde la Kati wameendelea na kazi ya upimaji maji kwenye mto Erri uliopo mjini babati kwa lengo la kusasisha safu ya ukadiriaji wa maji mto Erri
Wataalamu wa Bodi ya Maji Bonde la Kati wameendelea na kazi ya upimaji maji kwenye mto Erri uliopo mjini babati kwa lengo la kusasisha safu ya ukadiriaji wa maji mto Erri