Habari
PICHA YA PAMOJA YA WAJUMBE WA BODI YA MAJI BONDE LA KATI
Wajumbe Bodi ya Maji Bonde la Kati wakiongozwa na mwenyekiti Bw.William Mabula katikati akiwa pamoja na wajumbe wenzake katika picha pamoja iliyopigwa 19/2/2026 katika ofisi kuu ya Bonde la Kati mjini Singida.
Picha hiyo imeonyesha mshikamano na, umoja wa viongozi wa kuu wa Bodi pamoja wajumbe wa Bodi hiyo.

