Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

Bodi ya Maji Bonde la Kati

Bodi ya Maji Bonde la Kati

Habari

IDBWB; YAFANYA MAFUNZO YA QMS.


Singida 1/6/2026 Bodi ya Maji Bonde la Kati inaendelea kufanya mafunzo ya ukaguzi wa ndani wa mfumo wa kudhibiti ubora (Quality management system  Internet Audit training.

Mafunzo hayo yalianza tarehe 1/6/2026 na yatatamatika 5/6/2026 ambayo yanaendeshwa  na wataalamu kutoka  mamlaka wa hali ya  hewa Tanzania (TMA)

Lengo la mafunzo haya ni kuwajengea uwezo watumishi wa Bodi ya Maji Bonde la Kati kufanya ukaguzi wa ndani wa mfumo wa QMS sambamba na kufanya ukaguzi wa mfumo huo katika Bodi ya Maji Bonde la Kati.