Habari
MWENYEKITI: AONGOZA KIKAO CHA BODI
Mwenyekiti wa Bodi ya Maji Bonde la Kati Bw. William Mabula ameongoza kikao cha kwanza cha Bodi ya saba tarehe 20/2/2026 katika ukumbi wa Bodi ya Maji Bonde la Kati Singida.
Aidha mwenyekiti ameongea kuwa kikao hiki kinamaana kubwa ya kukumbushana majukumu ya Bodi na kutafuta ufafanuzi wa mbinu ya vyanzo vya mapato ili Bodi iweze kusonga mbele kimaendeleo,pia alisisitiza mshikamano na umoja ndio nguzo kuu ya mafanikio.

