Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

Bodi ya Maji Bonde la Kati

Bodi ya Maji Bonde la Kati

Habari

UJENZI WA BIRIKA LA KUNYWESHEA MIFUGO KATIKA KIJIJI CHA BUSHORA WILAYANI KISHAPU UMEKAMILIKA KWA 100%


UJENZI WA BIRIKA LA KUNYWESHEA MIFUGO KATIKA KIJIJI CHA BUSHORA WILAYANI KISHAPU UMEKAMILIKA KWA 100%.

Ujenzi wa birika la kunyweshea mifugo (Cattle Trough) lenye mita za ujazo kumi na tatu (13m3) katika Kijiji cha Bushora Wilayani Kishapu. Kazi ya ujenzi imekamilika kwa 100% na birika hili litakuwa na uwezo wa kuhudumia idadi ya mifugo ipatayo 1,833 katika Kijiji cha Bushora.