Habari
KAIMU MKURUGENZI BODI YA MAJI BONDE LA KATI AKITOA SALAMU NA UTAMBULISHO
Kaimu Mkurugenzi Bonde la kati Eng. Mwita Chacha Mwita akitoa Salamu na Utambulisho wa wadau mbalimbali waliohudhuria kikao cha uundaji wa kidakio cha ziwa manyara

