Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Maji

Bodi ya Maji Bonde la Kati

Bodi ya Maji Bonde la Kati

Habari

UKARABATI BWAWA LA NANJA UKIENDELEA


Timu ya watalaam yafanikiwa kudhibiti maji yaliyokuwa yanatoroka kutoka bwawa la Nanja baada ya kupasuka  na kuruhusu maji kutoroka kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.   Pia tayari barabara ya kupitisha mawe na vifusi  imekamilika. Hatua inayofuata ni kuendelea na ujenzi wa sehemu ya tuta iliyobomoka na utoro wake wa maji.